RAIS MWINYI ASHIRIKI SALA YA MAZISHI YA MAREHEMU SANYA

,
..............................

Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi katika Mazishi ya Marehemu Muhammad Ibrahim Sanya yaliofanyika Leo .

Rais Dkt,Mwinyi aliwaongoza  Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Maiti  katika Msikiti Jibril Mkunazini , Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi tarehe 22 Aprili 2025.

Marehemu Ibrahim Sanya amefariki Jana  wakati akitibiwa  katika Hospitali ya  Rufaa ya Mkoa Wa Mjini Magharibi Lumumba .

Wakati wa Uhai wake Marehemu Ibrahim  Sanya aliwahi kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Jimbo la Mkunazini  kwa tiketi ya Chama Cha Wananchi (CUF).

Marehemu Sanya amezikwa eneo la Makaburi ya Kijitoupele,Wilaya ya Magharibi B Mkoa wa Mjini Magharibi.

mussa khalidi

I am ,Journalist, Presenter Radio & TV, Producer, Video editor, Graphics Designer, Layout Newspaper designer,Contact: +255 659 669 902 Email: mussakhalid70@yahoo.com or muxabhai200@gmail.com

Post a Comment

Previous Post Next Post