Hii hapa barua ya Papa Francis aliyo muandikia Mh. Rais Samia Suluhu Hassan siku chache kabla ya kufariki.
"Kwa unyenyekevu na shukrani, nimepokea ujumbe wa hayati Papa Francisko kwangu, kwa nchi yetu na kwa Watanzania wote, aliouandika siku chache kabla Mwenyezi Mungu hajamwita kwake, na kumkabidhi Balozi wa Vatican hapa nchini, Askofu Mkuu Angelo Accattino".
Tuendelee kumwombea kwa Mwenyezi Mungu alale mahali pema.
Tags
Top Stories.