Header Ads Widget

Responsive Advertisement

IRAN NA TANZANIA KUENDELEZA USHIRIKIANO

 


Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El maamry Mwamba amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mhe. Dkt. Mohammed Nikhal, katika ofisi za Wizara ya Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma, ambapo pa moja na mambo mengine wamezungumza na kukubaliana masuala mbalimbali ya Ushirikiano hususan katika masuala ya uchumi, biashara na uwekezaji.

Post a Comment

0 Comments