Header Ads Widget

Responsive Advertisement

YANGA SC MABINGWA TOYOTA CUP

 

KLABU ya Yanga imefanikiwa kubeba Kombe la TOYOTA nchini Afrika Kusini ambapo Yanga walialikwa kucheza na timu ya Kaizer Chiefs.

Yanga Sc imefanikiwa kubeba kombe hilo mara baada ya kuifunga Kaizer Chiefs mabao 4-0 kwenye mchezo huo.

Mabao ya Yanga yamefungwa na Aziz Ki ambaye amefunga mabao mawili, Mzize pamoja na Prince Dube.




Post a Comment

0 Comments