Header Ads Widget

Responsive Advertisement

VIDEO: TAZAMA VIONGOZI WA DINI KAGERA WAMUOMBEA RAIS DKT. SAMIA, BASHUNGWA AWAS...










Viongozi wa Dini wa Mkoa wa Kagera wameungana kwa pamoja kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Viongozi wa Kitaifa na Serikali kwa kuendelea kudumisha Amani, Utulivu, Upendano na Maelewano.

Ibada hiyo iliyowakutanisha viongozi wa Dini ya Kikristo na Kiislamu imefanyika leo Julai 28, 2024 katika Kanisa Anglikana Mt. Yohana Kimbugu - Muleba, Kagera iliyoambatana na Ibada ya Shukrani ya Miaka 12 ya Uchungaji wa Askofu Grayson Mutegeki Katunzi pamoja na Harambee ya Ujenzi wa Kanisa.

Post a Comment

0 Comments